Kaimu Kamishna Jenerali wa Magereza, Dkt. Juma Malewa akitoa hotuba yake fupi ya kufunga mwaka 2016 na kuukaribisha mwaka mpya 2017 kwenye Baraza la Maafisa na Askari kutoka vituo mbalimbali vya Magereza Mkoani Dar es Salam Desemba 30, 2016 katika Bwalo Kuu la Maafisa Magereza Ukonga.

 

Kwa habari picha zaidi tembelea www.magereza.blogspot.com