Amiri Jeshi Mkuu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Joseph Magufuli akiweka saini kitabu cha wageni akiwa na  Kamishna Jenerali wa Magereza John Casmir Minja kabla ya kuongea na Maafisa na askari wa Jeshi la Magereza Mkoa wa Dar es Salaam alipofanya ziara ya kustukiza katika Jiji la Dar es Salaam Novemba 29, 2016.

Kwa habari picha zaidi tembelea www.magereza.blogspot.com