Kamishna Jenerali wa Magereza - CGP. John Casmir Minja(vazi la kiraia) akiwa ameongozana na Mkuu wa Gereza  Karanga, Moshi, ACP. Hassan Mkwiche (kushoto) pamoja na Kaimu Mkuu wa Kiwanda cha Viatu Karanga, ASP. Michael Minja(kulia) alipotembelea Kiwanda hicho ili kuona eneo lililotengwa kwa ajili ya  ujenzi wa Kiwanda kipya cha kisasa cha viatu leo Oktoba 14, 2016. Wengine pichani ni Maafisa wa Jeshi la  Magereza Mkoani Kilimanjaro.

 

Kwa habari picha zaidi tembelea www.magereza.blogspot.com