Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Meja Jenerali Projest Rwegasira(katikati) katika Jukwaa akipokea Salaam ya heshima kutoka kwa Gwaride la Wahitimu wa Mafunzo ya Uongozi Daraja la Kwanza kozi Na. 22 ya Mwaka 2016(hawapo pichani) katika hafla ya kufunga Mafunzo hayo leo Septemba 16, 2016 Chuo cha Magereza, Kiwira Mbeya.  Kushoto ni Kamishna Jenerali wa Magereza, CGP- John Casmir Minja.

 

Kwa habari picha zaidi tembelea www.magereza.blogspot.com