Mkuu wa Jeshi la Magereza, CGP - Phaustine Kasike akisalimiana na mmoja wa wazazi alipowasili katika viwanja vya Shule ya Sekondari Bwawani kushiriki Maadhimisho ya Kumi na tano ya Siku ya wazazi ya Shule hiyo leo Agosti 16, 2018 Mkoani Pwani.

(Picha na Jeshi la Magereza)

 

Kwa habari picha zaidi tembelea www.magereza.blogspot.com