Naibu Kamishna wa Magereza Tusekile Mwaisabila(wa pili toka kushoto) akiwa na Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Magereza, Mussa Kaswaka(wa tatu toka kulia) pamoja na Maafisa wa Jeshi la Magereza  wakishiriki maandamando ya Maadhimisho ya wiki ya sheria. Maandamano hayo yalfanyika jana Januari 28, 2018 yakianzia katika Viwanja vya Mahakama ya Kisutu na kuishia katika Viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es salaam.

 

Kwa habari picha zaidi tembelea www.magereza.blogspot.com