Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Ajira na Watu wenye Ulemavu Mh. Jenista Mhagama (Mb) (wa tano kulia) akiwa katika eneo la Mradi wa Ujenzi wa Kiwanda kipya cha viatu cha Karanga Leather Industries Ltd Karanga Moshi, kinatarajiwa kujengwa kwa ubia kati ya Mfuko wa Hifadhi ya Jamii wa PPF na Jeshi la Magereza.

 

Kwa habari picha zaidi tembelea www.magereza.blogspot.com