Kamishna Jenerali wa Magereza, Dkt. Juma Malewa akiwasili Makao Makuu ya Jeshi la Magereza mara baada ya kuapishwa rasmi kuwa Kamishna Jenerali wa Jeshi la Magereza, Ikulu Jijini Dar es Salaam Februari 6, 2017.

Picha na Lucas Mboje wa Jeshi la Magereza.

 

Kwa habari picha zaidi tembelea www.magereza.blogspot.com