Kamishna Jenerali wa Magereza, CGP- John Casmir Minja akisalimiana na baadhi ya Maafisa Watendaji katika mradi wa Uzalishaji kokoto wa SUMA – JKT uliopo Pongwe Msungula, Mkoa wa Pwani leo Oktoba 28, 2016 alipotembelea mradi huo ili kujionea shughuli za uzalishaji wa kokoto.

 

Kwa habari picha zaidi tembelea www.magereza.blogspot.com