Kamishna Jenerali wa Magereza, CGP- John Casmir Minja(kushoto) akipokea salaamu ya heshima kutoka kwa Afisa wa Jeshi la Magereza Mkoani Kilimanjaro alipowasili Mkoani humo katika ziara ya kikazi ambapo atafanya ukaguzi wa eneo la mradi wa Uwekezaji wa Kiwanda kipya cha Viatu Gereza Karanga, Moshi ambapo mradi huo ni wa ubia baina ya Shirika la Magereza na Mfuko wa Jamii wa PPF, leo Oktoba 13, 2016.

 

Kwa habari picha zaidi tembelea www.magereza.blogspot.com