Kamishna Jenerali mpya wa Magereza, Suleiman Mzee akipokea salaam ya heshima toka Gwaride Maalum lililoandaliwa na Maofisa na askari wa Jeshi la Magereza (hawapo pichani) kwa ajili yake kwa heshima katika Ofisi ndogo ya Makao Makuu ya Magereza, Jijini Dar es Salaam.
MAPOKEZI YA KAMISHNA JENERALI MPYA WA MAGEREZA LEO OFISI NDOGO YA MAKAO MAKUU YA MAGEREZA, JIJINI DAR
- Details