Kamishna Jenerali wa Magereza, Phaustine Kasike(katikati) akiangalia vitalu vya miche ya miti aina ya misindano(pines) alipowasili katika Gereza la Mgagao, Wilaya ya Kilolo leo Novemba 10, 2018. Kushoto kwake ni Mkuu wa Gereza hilo, ASP. Peter Sahani(kulia) ni Mkuu wa Magereza Mkoani Iringa, ACP. Hassard Mkwanda.

(Picha na Jeshi la Magereza)

Kwa habari picha zaidi tembelea www.magereza.blogspot.com