Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe. Kangi Lugola akisalimiana na Kamishna Jenerali wa Magereza, Phaustine Kasike kabla ya kuingia kwenye Kikao cha Kamati ya Bunge Mambo ya nje, Ulinzi na Usalama kinachofanyika leo Agosti 24, 2018, jijini Dodoma. Kamati hiyo inakutana na watendaji wa Jeshi la Magereza na Idara ya Wakimbizi.

(Picha na Jeshi la Magereza)

Kwa habari picha zaidi tembelea www.magereza.blogspot.com