Mkuu wa Divisheni ya Huduma za Urekebishaji, Naibu Kamishna wa Magereza, Tusekile Mwaisabila akisalimiana na Maafisa Waandamizi wa Jeshi la Magereza mara baada ya kuwasili katika ziara Maalum ya kukagua maboresho mbalimbali katika Kiwanda cha Viatu cha Gereza Kuu Karanga Moshi leo Agosti 29, 2017(wa kwanza kulia) ni Mkuu wa Gereza Kuu Karanga – Moshi, Kamishna Msaidizi wa Magereza, Leonard Mushi.

 

Kwa habari picha zaidi tembelea www.magereza.blogspot.com