Kamishna Jenerali wa Magereza, Dkt. Juma Malewa akitoa salaam ya heshima kwa Waziri Mkuu, Mhe. Kassim Majaliwa alipowasili kwenye hafla ya  kuwavalisha Vyeo Maafisa Waandamizi wa Jeshi la Magereza kwenye Viwanja vya Chuo cha Taaluma ya Urekebishaji Tanzania, Ukonga jijini Dar es salaam Juni 12, 2017. Mheshimiwa Majaliwa alimwakilisha Rais Dkt. John Pombe Mgufuli katika hafla hiyo.


Kwa habari picha zaidi tembelea www.magereza.blogspot.com