Kamishna wa Magereza Divisheni ya Fedha na Utawala ambaye ni Mwenyekiti wa Bodi ya Shule ya Sekondari Bwawani, Gaston Sanga akivishwa skafu na mmoja ya wa wanafunzi wa kikundi cha skauti cha shule hiyo mara baada ya kuwasili katika viwanja vya mahafali ya pili ya Kidato cha sita shuleni hapo leo Aprili 11, 2017.

 

Kwa habari picha zaidi tembelea www.magereza.blogspot.com