Kamishna Jenerali wa Magereza, Dkt. Juma Malewa akitoa maelezo mafupi kabla ya hafla fupi ya utiaji saini wa Mkataba wa Makubaliano kati ya Jeshi la Magereza na Mifuko ya Hifadhi ya Jamii ya NSSF & PPF katika ushirikiano wa kufufua Kilimo cha miwa na ujenzi wa Kiwanda cha sukari cha Gereza Mbigiri – Morogoro. Hafla hiyo imefanyika leo Februari 24, 2017 katika Ofisi za Makao Makuu ya Jeshi la Magereza, Jijini Dar es Salaam.

 

Kwa habari picha zaidi tembelea www.magereza.blogspot.com