HISTORIA YA UONGOZI WA JESHI LA MAGEREZA TOKA 1961
Baada ya kupatikana kwa Uhuru wa Tanzania Bara, Jeshi la Magereza liliendelea kuongozwa na Kamishna wa Magereza Muingereza, Bw. Patric. Manley hadi mwaka 1962 Jeshi hili lilipoanza kuongozwa na wazalendo.


Mtiririko wa Uongozi huo ni kama ifuatavyo:-
1. Kamishna P. Manley - 1955 – 1962
2. Kamishna O.K.Rugimbana - 1962 – 1967
3. Kamishna R.Nyamka - 1967 – 1974
4. Kamishna Mkuu R. Nyamka - 1974 – 1978
5. Kamishna Mkuu A.B Mwaijande - 1978 – 1978
6. Kamishna Mkuu G.G.Geneya - 1979 – 1983
7. Kamishna Mkuu S.A. Mwanguku - 1983 – 1992
8. Kamishna Mkuu J.H. Mangara - 1992 - 1996
9. Kamishna Mkuu O.E.Malisa - 1996 - 2002
10. Kamishna Mkuu N.P. Banzi - 2002 - 2007
11. Kamishna Mkuu A. N.Nanyaro - 2007 – 2012
12. Kamishna Jenerali J.C. Minja - 2012 - 2017
13. Kamishna Jenerali Dr. Juma A. Malewa - 2017 - 2018
14. Kamishna Jenerali CGP. Phaustine M. Kasike - 2018 - 2020

15. kamishna Jenerali CGP Mej. Jen. Suleiman M. Mzee - 2020 - 2022

16. kamishna Jenerali CGP Mzee Ramadhani Nyamka 2022 Hadi sasa

.