![]() |
HABARI MPYA | Habari zaidi |
-
TANZIA: NAIBU KAMISHNA WA MAGEREZA JULIUS SANG'UDI AFARIKI DUNIA JIJINI DODOMA
20-01-2021
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI (Jeshi la Magereza) TANZIA Ex....
-
MAGEREZA WAOKOA BILIONI 11 ZA CHAKULA CHA WAFUNGWA
16-01-2021
Na Mwandishi WetuJeshi la Magereza nchini limeokoa jumla ya Shilingi Bilioni 11, ikiwa ni gharama...
-
TANGAZO LA AJIRA
09-11-2020
TANGAZO LA KUJIUNGA NA MAFUNZO YA KAMPUNI YA ULINZI YA SHIMA (SHIMA GUARD Co Ltd) TAREHE...
-
CALL FOR APPLICATION
03-10-2020
Call for applications for admissions into correctional science programmes at Tanzania Correctional Training...
-
KAMISHNA JENERALI WA JESHI LA MAGEREZA NCHINI MEJ.JEN. SULEIMAN MZEE, TAR. 09 JULAI 2020, AMEFUNGUA MAFUNZO YA UONGOZI NGAZI YA JUU YA JESHI LA MAGEREZA,KOZI NA.01 KATIKA CHUO CHA KPF KILICHOPO KINGOLWIRA , MOROGORO.
10-07-2020
Kamishna Jenerali Suleima Mzee akiongea na wanafunzi wa Kozi ya Uongozi Ngazi ya Juu( hawapo...
-
MAKATIBU MUHTASI WA JESHI LA MAGEREZA TANZANIA BARA WAPIGWA MSASA TAREHE 4 JULAI 2020.
05-07-2020
Makatibu muhtasi kutoka makao makuu ya jeshi la magereza wakiwa wakiwa katika picha ya pamoja na ...
HISTORIA YA JESHI LA MAGEREZA TANZANIA BARA |
1.0.Utangulizi Jeshi la Magereza lilianzishwa rasmi mwezi Agosti 25,1931 baada ya mgawanyo wa majeshi ya Polisi na Magereza kutokea. Licha ya kuwa na majukumu ya kulinda usalama na mali za wageni, kabla ya mwaka 1931 Jeshi la Polisi lilifanya pia kazi za Magereza kama zilivyokuwa kwa tafsiri na madhumuni ya wakoloni. Jeshi la Magereza wakati lilipoanzishwa liliitwa Idara ya Jela ambapo shughuli zake zilibaki kuwa zile za kikoloni za utesaji wa wafungwa pamoja na kazi ngumu bila kujali kama ni ya manufaa kwao au kwa Taifa. Dhima ya Jeshi la Magereza ni kutekeleza wajibu ipasavyo katika kuimarisha ulinzi wa jamii kupitia usimamizi wa kifungo na kuwasimamia wahalifu, huduma za mahabusu, programu na huduma zinashughulikia mahitaji ya urekebishaji wa wahalifu na ushauri wa Sera kuhusu uzuiaji wa uhalifu na ushughulikiaji wa wahalifu. Soma zaidi>> |